Beki huyo wa kati mwenye uwezo wa kucheza upande wa kulia au kushoto kwa ufasaha, alisema haogopi changamoto zozote kwa sasa katika maisha yake, huku akiweka wazi usajili mpya katika dirisha ...
Msimu wake wa kwanza alimaliza na mabao matatu ya Ligi, ingawa safari hii ameanza kwa kuandamwa na majeraha, huku pia akionyeshwa kadi nyekundu walipochapwa mabao 3-1, dhidi ya Fountain ...
Gomez mwenye mabao sita ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu akizidiwa mawili pekee na Elvis Rupia wa Singida Black Stars aliyefunga manane akiwa kinara, amesajiliwa na Wydad kwa ada ya uhamisho ...