Milipuko ya mizinga imeitikisa Goma Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Rwanda na wapiganaji kundi la waasi la M23 kuingia mjini humo.
Rais wa DRC , Felix Tshisekedi, hatahudhuria mkutano usio wa kawaida wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ulioitishwa na Rais William Ruto wa Kenya kuhusu mgogoro wa mashariki mwa Congo.
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha hivi leo uwepo wa jeshi la Rwanda huko Goma, ambako waasi wa M23 ...
Goma ni mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), unaotajwa kuwa mji wa pili kwa ...
Marekani imelitolewa wito Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kusitisha mashambulizi ya wanajeshi wa ...
Ufaransa inatoa wito kwa vikosi vya Rwanda "kuondoka kwa haraka" Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi lenye silaha la M23 ambalo wanaliunga mkono "kujiondoa mara moja kutoka katika maeneo ...
Jean Claude Mwambutsa, umunyamakuru wa BBC Gahuzamiryango uri ku ruhande rw'u Rwanda ku mupaka wa Goma na Gisenyi avuga ko ku mipaka yombi – La Corniche (grande barriere) na Petite barrière ...
M23 na jeshi la Rwanda wanadhibiti uwanja wa ndege na sasa wanamiliki karibu mji mzima na vitongoji vya Goma, mji mkuu wa Kivu Kaskazini. Mkutano umepangwa kufanyika leo kati ya viongozi wa Kongo ...
GOMA : MAPIGANO katika mji wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, yamesababisha vifo vya watu 17 na ...
Umuvugizi w’Ingabo z’u Rwanda (RDF), Brig. Gen Ronald Rwivanga, yatangaje ko ingabo za Repubulika Iharanira Demokarasi ya ...
Hata hivyo, pamoja na kundi hilo la waasi kuanzishwa tarehe hiyo, makeke yalianza kuonekana zaidi miezi miwili baadaye, Juni 6, 2012.