Msimu wake wa kwanza alimaliza na mabao matatu ya Ligi, ingawa safari hii ameanza kwa kuandamwa na majeraha, huku pia akionyeshwa kadi nyekundu walipochapwa mabao 3-1, dhidi ya Fountain ...
Beki huyo wa kati mwenye uwezo wa kucheza upande wa kulia au kushoto kwa ufasaha, alisema haogopi changamoto zozote kwa sasa katika maisha yake, huku akiweka wazi usajili mpya katika dirisha ...
NITAKUAMBIA kwa nini. Mara ya mwisho kuona kipindi cha TV kama Bongo Star Search (BSS) kinaanzia Tanzania kisha kinakuza mbawa zake kwenda nje ya mipaka ya TZ ni lini? Mimi hata sikumbuki.