PEP Guardiola amedai hana sababu ya kulalamikia ratiba ngumu inayoikabili Manchester City kwa mwezi huu wa Februari kwa ...
NI wazi kuwa Barakah The Prince ni miongoni mwa wanamuziki waliojaliwa vipaji vikubwa hasa upande wa uandishi, sauti na ...
LIGI Kuu Bara inazidi kupaa na kuonekana kuwa mojawapo ya ligi zenye nguvu katika Afrika. Kwa sasa Ligi hiyo inashika nafasi ...
JANUARI 31, 2025, wachezaji 14 walitangazwa kuwa wachezaji wa akiba kwa ajili ya mchezo wa All-Star wa NBA utakaopigwa ...
KOCHA Ruben Amorim anataka Kobbie Mainoo na Alejandro Garnacho wabaki kwenye kikosi cha Manchester United kwa ajili ya hatima ...
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya kupata ushindi wa mabao 4-0 ...
MWENYEKITI wa Klabu ya Coastal Union, Muhsin Ramadhan Hassan, ameteua Kamati ya Kudumu klabuni hapo ikiwa zimepita takribani ...
KAMA kuna kitu kinasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Yanga kwenye soka la wanawake ni timu hiyo kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ...
NGOJA tuone leo itakuwaje pale ambapo Tabora United, vijana wa kocha Anicet Kiazayidi watakapokuwa wenyeji wa Simba inayonolewa na Fadlu Davids katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao ...
NDO hivyo. Arsenal inakabiliwa na njia ngumu katika mchakamchaka wao wa kufukuzia taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu baada ya droo ya mchujo.
Msimu wake wa kwanza alimaliza na mabao matatu ya Ligi, ingawa safari hii ameanza kwa kuandamwa na majeraha, huku pia akionyeshwa kadi nyekundu walipochapwa mabao 3-1, dhidi ya Fountain ...
Beki huyo wa kati mwenye uwezo wa kucheza upande wa kulia au kushoto kwa ufasaha, alisema haogopi changamoto zozote kwa sasa katika maisha yake, huku akiweka wazi usajili mpya katika dirisha ...