NGOJA tuone leo itakuwaje pale ambapo Tabora United, vijana wa kocha Anicet Kiazayidi watakapokuwa wenyeji wa Simba inayonolewa na Fadlu Davids katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao ...
Msimu wake wa kwanza alimaliza na mabao matatu ya Ligi, ingawa safari hii ameanza kwa kuandamwa na majeraha, huku pia akionyeshwa kadi nyekundu walipochapwa mabao 3-1, dhidi ya Fountain ...
Beki huyo wa kati mwenye uwezo wa kucheza upande wa kulia au kushoto kwa ufasaha, alisema haogopi changamoto zozote kwa sasa katika maisha yake, huku akiweka wazi usajili mpya katika dirisha ...