Taarifa iliyotolewa na Mjumbe wa Mkutano huo, ambaye pia ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (Twitter), ilieleza kuwa viongozi hao walikutana Januari 29 ...
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema takribani watu 900 wameuawa na wengine 2,900 kujeruhiwa kutokana na mapigano yaliyodumu kwa siku saba katika mji wa Goma kati ya waasi wa M23 na Jeshi la Jamhuri ...