Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani limeeleza wasiwasi wake kuhusu ugumu wa ufikiaji wa wanaohitaji msaada mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ongezeko la ...
KWA dau hili hata ungekuwa ni wewe usingebaki. Ndio, imefichuka kwamba aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic aliye mbioni kujiunga na CR Belouizdad ya Algeria atavuta mshahara wa kibosi ...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Steven Wasira. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Steven Wasira, amewakosoa wanaoshinikiza upatikanaji wa Katiba Mpya huku wakipuuzia ...
Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award kwenye hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency ...
Kocha huyo anaondoka Yanga akiwa na rekodi mpya binafsi ya kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi akiwa na timu hiyo, huku Hamdi akitua kikosi humo akiwa amecheza mechi mbili tu za ...
Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), Mtukufu Aga Khan, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Maduka ya chini ya majengo ya ...
Unguja. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu imesema lazima iwepo sheria mpya itakayotoa adhabu kwa wanaosingizia makosa ya ukatili, ili kupunguza vitendo vya ukatili wa kijinsia. Pia, watendaji wanaozorotesha, ...
MGODI wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa umeanza ujenzi wa Zahanati kwa kushirikiana na wananchi ambayo itaondoa adha ya wananchi hao kutembea umbali ...
Amekariri kwamba Uingereza itashauriana na serikali mpya ya Trump ili kuipa fursa ya "kuzingatia mpango huo kwa ukamilifu". Pia amebainisha azimio la London la kupata hakikisho la ulinzi thabiti ...
Tutakuwa na kifaa kipya cha kupima kisukari kwa njia ya mate,” alisema Prof. Janabi. Kisukari hupimwa kwa njia mbili; damu na mkojo. Utaalamu mpya kuongeza ufanisi. (Mtandao) Kwa mujibu wa wataalamu ...
Trump na maafisa wake wanaandaa wito kama anavyoita kwa lugha yake - "kuwapatia mwanzo mpya" Wapalestina wote nje ya Gaza kama ishara ya kibinadamu, wakisema hakuna mbadala wao kwa sababu Gaza ni ...
Maafisa wa Uganda wanajiandaa kupeleka chanjo ya majaribio kama sehemu ya juhudi za kukomesha mlipuko wa Ebola katika mji mkuu, Kampala, afisa mkuu wa afya amesema siku ya Jumapili. Kundi la ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果