Rais wa Uganda Yoweri Museveni, ameamuru uchunguzi kufuatia kifo cha mkuu wa zamani wa jeshi James Kazini aliyeuawa siku ya Jumanne. Mpenzi wa meja Jenerali Kazini amekiri kumuua afisaa huyo wa ...
ARUSHA; RAIS Samia Suluhu Hassani ameagiza uanze mchakato wa kujenga Reli ya Kisasa (SGR) kwenda mkoani Arusha.
Mzozo wa hivi karibuni wa Sudan Kusini unatokana na mvutano kati ya Rais Salva Kiir na mpinzani wake, ambaye ni makamu wa ...
Angola imehitimisha jitihada zake za upatanishi katika mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ...
Mkuu wa Majeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba, amesema askari wa Jeshi la Uganda (UPDF) ama wapiganaji wa Kundi la M23 ...
MKUU Majeshi wa Uganda, Muhoozi Kainerugaba, ambaye ni mtoto wa Rais Museveni, amesema kuwa vikosi vyake vitadhibiti mji wa Kisangani, iwapo waasi wa M23 watachelewa kuuteka mji huo. Kupitia mtandao w ...
Mkuu wa jeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba, amedai jeshi la Uganda, UPDF au waasi wa M23 watawasili katika mji wa ...
Siku chache baada ya chama tawala nchini Uganda, NRM kutangaza kuyakataa matokeo ya uchaguzi mdogo wa ubunge kwenye eneo la ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果